Shamba darasa la mpunga lililopo JKU Upenja linalofundisha ukulima wa mpunga kwa kutumia mbinu mpya ya kilimo cha mpunga itwayo kilimo shadidi.

Muonekano wa shamba darasa lililopandwa kwa mbinu mpya ya kilimo shadidi



Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi akikagua Shamba darasa la mpunga lililopanda kwa kutumia mbinu mpya ya kilimo shadidi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii