Maafisa wa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) wakishiriki zoezi la uvunaji wa mpunga kwenye  shamba darasa lililotoa mafunzo  ya ukulima kwa kutumia mbinu mpya ya ukulima wa mpunga itwayo  kilimo shadidi, mafunzo yalitolewa na Mradi wa kuongeza Uzalishaji na Tija katika Zao la Mpunga, uvunaji huu umefanyika huko kwenye Kambi ya Upenja Mkoa wa Kaskazini.  

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii